Madaktari nchini Kenya wameelezea wasiwasi kuhusu matumizi mabaya na ya kiholea ya dawa za dharura ambazo zinanuiwa kuwakinga waathiriwa wa ubakaji kutokana na maambukizi ya virusi vya HIV.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiheXAJIX14gZYo1bxD9dPXvlAxZoMdoL6xmA8w7NJrGemrm1PbwtilUc7ZtQVKf6rgdZ-QIcjJUyoiRTTwTnv2kig72_RWQJNY11QAl6RmOkXnGzZ5r_e_3SgYhSn79fYvB_P2PRGx5uqU/s1600/131114160429_ngono_nzembe_kenya_144x81_bbc_nocredit.jpg)
Lakini mwandishi wetu Zainab Deen aligundua kuwa wanawake makahaba wamegundua njia za kupata dawa hizo.
No comments:
Post a Comment